Latest News

Monday, November 30, 2015

NGOMEKA NA VIDEO MPYA YA MATONYA-HOMA YA JIJI


NGOMEKA NA GOMA JIPYA LA JOS MTAMBO- AM OLD SCHOOL




NGOMEKA NA GOMA JIPYA LA WAKAZI-USED TO GIVE



JINSI YA KUDOUBLE INTERNET SPEED YA COMPUTER YAKO BILA KUTUMIA SOFTWARE YOYOTE

KARIBU KATIKA DARSA HURU asante kwa kutembelea blog yangu.kwa mnaoendelea kutuma maswali mbalimbali. napokea maswali mengi sana na nayaandalia majibu ya uhakika ili yawe na faida kwako na kwa wengine.. kama unaswali lolote linalohusiana na computer au simu nitumie kwa Email yangu obbymjuzi@gmail.com nami ntakupatia majibu mazuri. usiasahau kulike page yetu ya facebook hapo juu kulia karibu na picha yangu.
Katika somola leo kama kichwa cha habari kinavyosema TUnajifunza jinsi ya kudouble internet speed ya computer yako kwa kutumia  CMD. yana kama speed ya internet yako ni 20% itaongezeka na kuwa 40%. kama ni 100% itaongezeka na kuwa 200%. hii sio uongo. FATA STEPS HIZI RAHISI

KISWAHILI
1.      Nenda kwenye sehem ya ku search kwenye computer yako na andika cmd
2.      chagua Run as administrator
3.      Andika color a then ENTER
4.      Andika cd/ then ENTER
5.      Andika netsh int tcp show global then ENTER
6.      Andika netsh int tcp set global chimney=enabled then ENTER
7.    Andika netsh int tcp set global autotuninglevel=normal then ENTER
8.      Andika netsh int tcp set global congestion provider=ctcp then ENTER
9.      Andika netsh int tcp show global then ENTER
10.  Restart computer yako
ENGLISH
1.      Go to the search then type cmd
2.      Choose Run as administrator
3.      type color a then ENTER
4.      type cd/ then ENTER
5.      type netsh int tcp show global then ENTER
6.      type  netsh int tcp set global chimney=enabled then ENTER
7.      type netsh int tcp set global autotuninglevel=normal then ENTER
8.    type netsh int tcp set global congestion provider=ctcp then ENTER
9.      type netsh int tcp show global then ENTER
10.  Restart your computer

ANGALIA HII VIDEO NIMEELEZEA KWA UNDANI ZAIDI/ JUST WATCH THIS VIDEO I HAVE MAKE DEEP EXPLANATION

 


Sunday, November 29, 2015

NGOMEKA NA GOMA JIPYA LA MAKOMANDO-MAMA WEE



NGOMEKA NA GOMA JIPYA LA KIMBUNGA-HAPPY



Saturday, November 28, 2015

NGOMEKA NA VIDEO MPYA YA KASSIM MGANGA ft CHIRISTIAN BELLA-SUBIRA


Thursday, November 26, 2015

NGOMEKA NA GOMA JIPYA LA MATONYA-JELA



Wednesday, November 25, 2015

Tuesday, November 24, 2015

NGOMEKA NA VIDEO MPYA YA SHAA-TOBA


Monday, November 23, 2015

NGOMEKA NA VIDEO MPYA YA NEY WA MITEGO- NYUMBANI KWETU


NGOMEKA NA GOMA JIPYA LA AMINI-FURAHA



Sunday, November 22, 2015

NGOMEKA NA GOMA JIPYA LA DOGO DEE ft BARAKA DE PRINCE-WABANA RIZIKI

 Hili ni goma jipya kutoka kwa mwana mwanza anaitwa DOGO DEE akiwa na mwana mwanza mwingine anaitwa BARAKA DE PRINCE. Producer aliehusika anaitwa MONAGENSTAR.
ni bonge moja la ngoma fanya kulipakua hap


NGOMEKA NA GOMA JIPYA LA NAKAAYA-SHAME



JINSI YA KU CONVERT MICROSOFT WORD KUWA PDF BILA KUTUMIA SOFTWARE YOYOTE


KARIBU KATIKA DARASA HURU. Asante kwa kutembelea BLOG YANGU.
Katika somo la leo tutajifunza jinsi ya kubadili (convert) Microsoft word kuwa PDF BILA KUTUMIA SOFTWARE YOYOYTE. Nimeamua kutoa somo hili kutokana na maswali ya wanadarasa huru ambayo wamenitumia kwenye email yangu. pia hata kma wewe unamaswali Tafadhari wasiloiana nami kwa email: obbymjuzi@gmail.com.

STEPS
1.Fungua Microsoft Word yako then andika kazi yako
2. nenda kwenye microsoft button ipo juu kushoto,
3. Chagua SAVE AS, then chagua PDF kwa kuclick
4. Itakuomba uandike jiina la hiyo kazi, utaandika jina lolote then utaclick sehem imeandikwa PUBLISH.
5. Hapo utakuwa umemaliza na utaikuta PDF yako katika sehem ambako utakuwa umeiallocate.

NOTE::
Kama utataenda kwenye SAVE AS na hujaiona hiyo PDF basi usijali fata link hii
https://www.microsoft.com/en-us/download/confirmation.aspx?id=9943
DOWNLOAD ADD ON then INSTALL. baada ya kuinstall  rudi kweny MICROSOFT WORD then chaguaSAVE AS  kama mwanzo. HAPO UTAWEZA KUIONA HIYO PDF.

KWA MAONI USHAURI NA VINGINE WASILIANA NAMI
EMAIL:obbymjuzi@gmail.com

TAZAMA VIDEO HII HAPA CHINI IMEELEZEA KWA UNDANI ZAIDI

Saturday, November 21, 2015

NGOMEKA NA GOMA LA DULLY SYKEE ft YAMOTO BAND-TUACHIE



Thursday, November 19, 2015

NGOMEKA NA GOMA JIPYA LA GODZILLA ft HENRY- PARTY



NGOMEKA NA WIMBO WA DDC MLIMANI-NAWASHUKURU WAZAZI



NGOMEKA NA WIMBO WA DDC MLIMANI-SUPU UMETIA NAZI



NGOMEKA NA WIMBO WA DDC MLIMANI PARK-BARUA KWA MAMA



NGOMEKA NA WIMBO WA DR REMMY ONGALA-MBELE KWA MBELE


NGOMEKA NA WIMBO WA DR REMMY ONGALA-SHIDA



NGOMEKA NA WIMBO WA GABRIEL OMOLO-LUNCH TIME



NGOMEKA NA WIMBO WA DDC MLIMAN PARK-NAWASHUKURU WAZAZI



NGOMEKA NA WIMBO WA DAUDI KABAKA-NAMLILIA KHADIJA WANGU



NGOMEKA NA WIMBO WA DAUDI KABAKA-TABU NI KWA MWANAMKE



Recent Post