Monday, November 30, 2015
JINSI YA KUDOUBLE INTERNET SPEED YA COMPUTER YAKO BILA KUTUMIA SOFTWARE YOYOTE
KARIBU KATIKA DARSA HURU asante kwa kutembelea blog yangu.kwa mnaoendelea kutuma maswali mbalimbali. napokea maswali mengi sana na nayaandalia majibu ya uhakika ili yawe na faida kwako na kwa wengine.. kama unaswali lolote linalohusiana na computer au simu nitumie kwa Email yangu obbymjuzi@gmail.com nami ntakupatia majibu mazuri. usiasahau kulike page yetu ya facebook hapo juu kulia karibu na picha yangu.
Katika somola leo kama kichwa cha habari kinavyosema TUnajifunza jinsi ya kudouble internet speed ya computer yako kwa kutumia CMD. yana kama speed ya internet yako ni 20% itaongezeka na kuwa 40%. kama ni 100% itaongezeka na kuwa 200%. hii sio uongo. FATA STEPS HIZI RAHISI
KISWAHILI
1.
Nenda kwenye sehem ya ku search kwenye
computer yako na andika cmd
2.
chagua Run
as administrator
3.
Andika color
a
then ENTER
4.
Andika cd/
then ENTER
5.
Andika netsh
int tcp show global then ENTER
6.
Andika netsh
int tcp set global chimney=enabled then ENTER
7. Andika
netsh int tcp set global autotuninglevel=normal then
ENTER
8.
Andika netsh
int tcp set global congestion provider=ctcp then ENTER
9.
Andika netsh
int tcp show global then ENTER
10.
Restart computer yako
ENGLISH
1.
Go to the search then type cmd
2.
Choose Run as
administrator
3.
type color a then
ENTER
4.
type cd/ then
ENTER
5.
type netsh int tcp
show global then ENTER
6.
type netsh int tcp
set global chimney=enabled then ENTER
7.
type netsh int tcp
set global autotuninglevel=normal then ENTER
8.
type netsh int tcp
set global congestion provider=ctcp then
ENTER
9.
type netsh int tcp
show global then ENTER
10.
Restart your computer
ANGALIA HII VIDEO NIMEELEZEA KWA UNDANI ZAIDI/ JUST WATCH THIS VIDEO I HAVE MAKE DEEP EXPLANATION
Sunday, November 29, 2015
Saturday, November 28, 2015
Thursday, November 26, 2015
Wednesday, November 25, 2015
Tuesday, November 24, 2015
Monday, November 23, 2015
Sunday, November 22, 2015
JINSI YA KU CONVERT MICROSOFT WORD KUWA PDF BILA KUTUMIA SOFTWARE YOYOTE
KARIBU KATIKA DARASA HURU. Asante kwa kutembelea BLOG YANGU.
Katika somo la leo tutajifunza jinsi ya kubadili (convert) Microsoft word kuwa PDF BILA KUTUMIA SOFTWARE YOYOYTE. Nimeamua kutoa somo hili kutokana na maswali ya wanadarasa huru ambayo wamenitumia kwenye email yangu. pia hata kma wewe unamaswali Tafadhari wasiloiana nami kwa email: obbymjuzi@gmail.com.
STEPS
1.Fungua Microsoft Word yako then andika kazi yako
2. nenda kwenye microsoft button ipo juu kushoto,
3. Chagua SAVE AS, then chagua PDF kwa kuclick
4. Itakuomba uandike jiina la hiyo kazi, utaandika jina lolote then utaclick sehem imeandikwa PUBLISH.
5. Hapo utakuwa umemaliza na utaikuta PDF yako katika sehem ambako utakuwa umeiallocate.
NOTE::
Kama utataenda kwenye SAVE AS na hujaiona hiyo PDF basi usijali fata link hii
https://www.microsoft.com/en-us/download/confirmation.aspx?id=9943
DOWNLOAD ADD ON then INSTALL. baada ya kuinstall rudi kweny MICROSOFT WORD then chaguaSAVE AS kama mwanzo. HAPO UTAWEZA KUIONA HIYO PDF.
KWA MAONI USHAURI NA VINGINE WASILIANA NAMI
EMAIL:obbymjuzi@gmail.com
TAZAMA VIDEO HII HAPA CHINI IMEELEZEA KWA UNDANI ZAIDI