Latest News

Monday, November 30, 2015

JINSI YA KUDOUBLE INTERNET SPEED YA COMPUTER YAKO BILA KUTUMIA SOFTWARE YOYOTE

KARIBU KATIKA DARSA HURU asante kwa kutembelea blog yangu.kwa mnaoendelea kutuma maswali mbalimbali. napokea maswali mengi sana na nayaandalia majibu ya uhakika ili yawe na faida kwako na kwa wengine.. kama unaswali lolote linalohusiana na computer au simu nitumie kwa Email yangu obbymjuzi@gmail.com nami ntakupatia majibu mazuri. usiasahau kulike page yetu ya facebook hapo juu kulia karibu na picha yangu.
Katika somola leo kama kichwa cha habari kinavyosema TUnajifunza jinsi ya kudouble internet speed ya computer yako kwa kutumia  CMD. yana kama speed ya internet yako ni 20% itaongezeka na kuwa 40%. kama ni 100% itaongezeka na kuwa 200%. hii sio uongo. FATA STEPS HIZI RAHISI

KISWAHILI
1.      Nenda kwenye sehem ya ku search kwenye computer yako na andika cmd
2.      chagua Run as administrator
3.      Andika color a then ENTER
4.      Andika cd/ then ENTER
5.      Andika netsh int tcp show global then ENTER
6.      Andika netsh int tcp set global chimney=enabled then ENTER
7.    Andika netsh int tcp set global autotuninglevel=normal then ENTER
8.      Andika netsh int tcp set global congestion provider=ctcp then ENTER
9.      Andika netsh int tcp show global then ENTER
10.  Restart computer yako
ENGLISH
1.      Go to the search then type cmd
2.      Choose Run as administrator
3.      type color a then ENTER
4.      type cd/ then ENTER
5.      type netsh int tcp show global then ENTER
6.      type  netsh int tcp set global chimney=enabled then ENTER
7.      type netsh int tcp set global autotuninglevel=normal then ENTER
8.    type netsh int tcp set global congestion provider=ctcp then ENTER
9.      type netsh int tcp show global then ENTER
10.  Restart your computer

ANGALIA HII VIDEO NIMEELEZEA KWA UNDANI ZAIDI/ JUST WATCH THIS VIDEO I HAVE MAKE DEEP EXPLANATION

 


Recent Post