KARIBU KATIKA DARASA HURU. Asante kwa kutembelea blog yangu pia asante kwa wote mlioshare na ku sabscribe, asante pia kwa wale mlionitumia maoni na maswali yenu kuusu vipindi vilivyopitana maswali mabilimbali nje ya kipindi kilichopita.. kama ilivyo ada leo tunajifunza kitu kipya hapa darasani. na leo kama kichwa cha habari kinavyosema tutajifunza nja mbalimbali za kufanya computer yako iwe FASTA. hii inatokana na maswalii ya watu wengi walionitumia kwenye Email yangu. pia kama unaswali lolote wewe nitumie tu na utapata majibu yake kwa undani. Turudi Darasani............