Karibu katika kipindi chetu maalumu. leo tunaanza na tutakuwa na muendelezo wa mjadala kuusu swala ambalo serikali imesema kuanzia january wasanii watakuwa wanalipwa kutokana na kazi zao kucheza kwenye redios na tvs stations mbalimbali.leo katika sehem ya kwanza tutaongea na wadau wa mziki, nao wataelezea hili swala kwa undani. DOWNLOAD NA WASIKILIZE HAPA.
Pia usikose kesho sehem ya pili itafata
.
Pia usikose kesho sehem ya pili itafata
.