kama nilivyosema na kuatngaza mara nyingi kwamba kwenye blog yetu kuna kitu kunaitwa msanii ujuzini ambacho tumekianzisha mahususi kuwasaport wasanii wa mziki (aina zote za mziki.)
leo tumeanza rasmi na msanii anaitwa D CRIMINAL MSIKILIZE HAPA.
kama wewe ni msanii na unahitaji kuhusika kwenye hiki kipindi tafadhari wasiliana nami kwa email au kwa namba hizo hapo juu.
leo tumeanza rasmi na msanii anaitwa D CRIMINAL MSIKILIZE HAPA.
kama wewe ni msanii na unahitaji kuhusika kwenye hiki kipindi tafadhari wasiliana nami kwa email au kwa namba hizo hapo juu.