hii in iterview ya pili katika segment ya MSANII UJUZINI inayopatikana kwenye blog yetu.
tumefanya interview na jamaa kutoka sumbawanga. jamaa anafanya mziki mzuri saaana. tumeongelea mziki wake kwa undan pia amepata nafasi ya kuielezea TRACK yake mpya.
KAMA NAWEWE UNATAKA KUHUSIKA WASILIANA.